ADEM Logo

Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu

MITIHANI YA KUMALIZA MWAKA WA MASOMO 2021/2022 INAFANYIKA TAREHE 25-29/07/2022

25 Jul, 2022

Mtendaji Mkuu Dkt. Siston Masanja anawatangazia Wanachuo wote kuwa mitihani ya kumaliza Muhula wa pili wa masomo  2021/2022 inafanyika katika Kampasi zote za Wakala za Bagamoyo, Mbeya na Mwanza kuanzia Julai 25-29, 2022.Tunawatakia wanachuo wote afya njema na mitihani mema.

Kuona Sheria na Taratibu za Mitihani tafadhali BOFYA HAPA