PAKUA HAPA FOMU YA KUJIUNGA NA MASOMO KWA MWAKA 2022/2023
27 Apr, 2022
ADEM inawatangazia Walimu kutoka Shule Binafsi, Mashirika na Walimu wa Shule za Serikali wanaotaka kujiunga na Stashahada ya Uthibiti Ubora wa Shule - DSQA na Stashahada ya Uongozi na Usimamizi wa Elimu - DEMA kuwa imeanza kupokea maombi ya kujiunga na Chuo kwa Mwaka wa masomo 2022/2023
PAKUA HAPA FOMU YA KUJIUNGA NA ADEM KWA MWAKA WA MASOMO 2022/2023