ADEM Logo

Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu

RATIBA YA MITIHANI YA SUPPLEMENTARY NA MARUDIO YA MUHULA WA KWANZA WA MWAKA WA MASOMO 2022/2023

14 Mar, 2023

Mtendaji Mkuu anawatangazia Wanafunzi wote wanaotakiwa kufanya Mitihani ya Supplementary na ile ya marudio kwa Kampasi zote za ADEM kuwa mitihani hiyo itaanza rasmi tarehe 28 Machi 2023

BONYEZA HAPA KUONA RATIBA YA MITIHANI HIYO